Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Emuhaya kaunti ya Vihiga waishi kwa hofu

  • | Citizen TV
    18 views
    Wakazi wa Ebuyangu eneo bunge la Emuhaya kaunti ya Vihiga wanaishi kwa hofu baada ya mwenyekiti wa nyumba kumi kuvamiwa na kuuwawa kinyama alfajira ya jumamosi alipokuwa anauza maziwa.