- 673 views
Wakazi wa eneo la Urudi lililoko Nyakach kaunti ya Kisumu walishiriki zoezi la kupanda miti ili kuzuia mafuriko mto Nyando ambayo husababisha uharibifu na hasara katika mashamba yao. Akizungumza kwenye hafla hiyo, mkuu wa eneo la Nyakach Peter Mutu ametoa wito kwa wakazi hao kupanda miti kwa wingi ili kuimarisha mazigira kufuatia agizo la rais. Afisa wa msitu kaunti ya Kisumu Isaack Sabule alisema wanalenga kupanda miti billioni tano kwa muda wa miaka mitano ili kuzuia maporomoko ya udongo eneo hilo kutokana na mafuriko
Wakazi wa eneo la Urudi wapanda miti kaunti ya Kisumu
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - A court in Madagascar has sentenced a man to surgical castration for the rape of a child in 2024, a judicial official said, in the first such measure on the Indian Ocean island.
- 12 Jul 2025 - Ukrainian drone and shelling attacks killed three people in Russia on Friday, while Russian bombardments on eastern Ukraine forced the evacuation of a maternity centre in Kharkiv and wounded nine.
- 12 Jul 2025 - Four crew members of a cargo ship attacked and sunk by Yemeni rebels earlier this week are presumed dead, an EU naval force said Friday, with search operations ongoing in the Red Sea.
- 12 Jul 2025 - His resignation coincided with another senior government official's resignation on the same day.
- 12 Jul 2025 - Canada's recent concessions to Trump appear to have yielded, to date, little result.
- 12 Jul 2025 - Singer and influencer Diana Marua was left surprised after her eldest son, Morgan, revealed his future marriage plans.
- 12 Jul 2025 - East African Legislative Assembly Member of Parliament (MP) David Sankok has shared a remarkable journey of how he
- 12 Jul 2025 - Gachagua spoke while in the US where he is currently in a tour.
- 12 Jul 2025 - 'If we did have our own capability, we would not have been left at the mercy of the West.' - Uhuru
- 12 Jul 2025 - Twalib says Ruto has empowered women and youth at the grassroots levels.