- 673 views
Wakazi wa eneo la Urudi lililoko Nyakach kaunti ya Kisumu walishiriki zoezi la kupanda miti ili kuzuia mafuriko mto Nyando ambayo husababisha uharibifu na hasara katika mashamba yao. Akizungumza kwenye hafla hiyo, mkuu wa eneo la Nyakach Peter Mutu ametoa wito kwa wakazi hao kupanda miti kwa wingi ili kuimarisha mazigira kufuatia agizo la rais. Afisa wa msitu kaunti ya Kisumu Isaack Sabule alisema wanalenga kupanda miti billioni tano kwa muda wa miaka mitano ili kuzuia maporomoko ya udongo eneo hilo kutokana na mafuriko
Wakazi wa eneo la Urudi wapanda miti kaunti ya Kisumu
- 29 Mar 2024 - The debt restructuring negotiations have been held back by differences between China and Western creditors.
- 29 Mar 2024 - Police have arrested five suspects believed to be part of a gang that broke into a businessman's vehicle in Nairobi's South C area and robbed him of close to Ksh.3 million a fortnight ago.
- 29 Mar 2024 - Thousands of Jordanians rallied near the Israeli embassy on Thursday in a fifth day of large protests against Israel, calling for an end to Jordan's unpopular peace treaty with its neighbour to the west.
- 29 Mar 2024 - President William Ruto has shared a message of hope, ushering in the Easter holidays.
- 29 Mar 2024 - Senior Principal Magistrate Joe Mkutu has freed 48 persons who had been arrested and charged for selling and smoking shisha in January 2024.
- 29 Mar 2024 - On Thursday evening, the IEC upheld an objection against Mr Zuma's candidature in the upcoming elections due on May 29.
- 29 Mar 2024 - Prime Cabinet Secretary and Foreign Affairs CS Musalia Mudavadi has highlighted the role of tech diplomacy in enhancing diplomatic outreach, networking, and global visibility while fostering cultural exchanges.
- 29 Mar 2024 - The new move comes as some countries, including Kenya, are considering a partial ban on the platform.
- 29 Mar 2024 - David Ndii was compelled to issue the explanation after questions were raised on the sudden stability of the shilling.
- 29 Mar 2024 - Chira was laid to rest on March 26 in his family's home in Ingitei village, Githunguri.