- 174 views
Huku taifa Likijiaanda kuanza kutekeleza matumizi ya bima mpya ya Afya ya SHA , Wizara ya afya katika kuanti ya Kajiado inawahimiza wakazi wake kuendelea kujisajili na bima hiyo mpya ili wanufaike na matibabu baada ya NHIF kufutiliwa mbali. Waziri wa afya kwenye kaunti hiyo Alex Kilouwa anasema huduma zote zilizokuwa zikitolewa kupitia Kwa bima ya NHIF sasa zitahamishiwa kwenye bima hiyo mpya, na sasa ni sharti wananchi wote wahamie bima hiyo mpya ili waendelee kunufaika na huduma za matibabu katika kaunti hiyo ya Kajiado.
Wakazi wa Kajiado wahimizwa kujisajili kwa bima ya afya ya SHA
- - Chacha mwita CD1 ››
- 1 Jul 2025 - Principal Magistrate Judicaster Nthuku on Monday ruled that each of the suspects be released on a personal bond of Ksh.100,000 with two sureties of a similar amount.
- 1 Jul 2025 - Members of Parliament have endorsed a Bill seeking to prohibit public gatherings near Parliament and all protected areas.
- 1 Jul 2025 - Karua accused the DCI of failing to produce Kinyagia, despite an active habeas corpus application and growing public concern.
- - KPA grain bulk license issued unconstitutionally, Supreme Court declares
- 1 Jul 2025 - During a media briefing on Monday, Amin defended his earlier statement to the Senate, claiming that his account of the events leading up to Ojwang's death was a verbatim reading of entries from official police records, not a personal interpretation or…
- 1 Jul 2025 - The Ksh.505 million corruption case against former Migori Governor Okoth Obado, four of his children, and several co-accused resumed today before the Anti-Corruption Court.
- 1 Jul 2025 - Ogamba also highlighted one notable achievement during this year's application cycle.
- - Activist disrupts court, demands answers on missing blogger Ndiang’ui
- 1 Jul 2025 - The deadly clampdown on online activism is a major attack on digital rights in one of the world’s most tech-savvy nations.
- 1 Jul 2025 - A 20-year-old female patient who underwent the complex procedure is recovering at home