Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Kiambu, Wajir na Vihiga wapinga ushuru mpya

  • | Citizen TV
    94 views
    Wakazi wa kaunti ya Kiambu, Wajir na Vihiga wamelalamikia ushuru wa juu wanaotozwa wananchi wakshinikiza kupunguzwa kwa bei ya bidhaa na mafuta . Kwenye vikao vya kutoa maoni kuhusu mswada w afedha wa mwaka wa 2026, wakazi hao wamepinga kuwepo kwa ushuru mpya wa bidhaa na huduma kukiteta kuwa gharama ya maisha iko juu sana