Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Kwale wataka ukarabati wa haraka wa daraja la Marere

  • | Citizen TV
    238 views
    Duration: 1:44
    Wakazi wa maeneo ya Kinango na Kwale mjibi wanaitaka mamlaka ya barabara Kuu nchini (KeNHA) kuharakisha ukarabati wa daraja la Marere lililovunjika siku mbili zilizopita ili kurejesha usafiri wa kawaida kati ya Kinango na Kwale.