- 732 viewsDuration: 2:46Wakazi wa kaunti za Mombasa, Kisii na Homa Bay walioko kwenye hatari kubw aya maambukizi ya virusi vya ukimwi wamepata chanjo ya kuzuia maambukizi. Maafisa wa afya katika kaunti hizo wanasema kuw ahatua hiyo itazuia maambukizi mapya. Waliopokea chanjo hiyo wana matumaini makubwa huku wakisema dozi hizo zitapunguza unyanyapaa.