25 Feb 2026 1:43 pm | Citizen TV 440 views Duration: 1:32 Mamia ya wakazi wa kijiji cha Ngechek na maeneo jirani katika Kaunti ya Nandi, wamepata afueni baada ya serikali kuu kupeleka huduma muhimu za kiserikali mlangoni pao kupitia mpango wa 'Huduma Mashinani’.