Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Nyamira wataka IEBC kuanzisha vituo tamba

  • | Citizen TV
    191 views
    Duration: 1:36
    Baadhi ya vijana kutoka eneo la Gusii wamesema mwendo mrefu kutoka nyumbani kwenda vituoni vya kusajiliwa kuwa wapigakura umechangia idadi ndogo ya Wakenya wanaojitokeza kusajiliwa.