Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Osiri, Kisumu, wakadiria hasara baada ya mvua kubwa ya mawe kusomba mifugo

  • | Citizen TV
    2,842 views
    Duration: 2:04
    Makumi ya wakazi wa kijiji cha Osiri kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara baada ya mvua kubwa ya mawe kusababisha uharibifu Jumatatu usiku. Majumba, madarasa na mazao ya shambani ni baadhi ya vitu vilivyoharibiwa huku mamia ya mifugo pia wakisombwa