- 314 viewsDuration: 3:14Wakazi wa kaunti ya Samburu wameibua wasiwasi kuhusu matumizi ya fedha za bajeti ya mwaka wa kifedha wa 2024/2025, wakihofia kufujwa kwa fedha za umma. Katika kikao cha kupokea maoni kuhusu bajeti ya mwaka ujao wa kifedha, wakazi wameshinikiza uwajibikaji zaidi.