Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Tiaty, Baringo, wanasajiliwa kupata vitambulisho vya kitaifa

  • | Citizen TV
    259 views
    Duration: 2:40
    Wakazi wa eneo la Tiaty, kaunti ya Baringo, wamefaidika na mpango wa usajili mashinani ambao umewawezesha kupata huduma za usajili wa vitambulisho vya kitaifa karibu nao. Kufikia sasa, watu elfu ishirini katika maeneo yaliyotengwa wamesajiliwa kupata stakabadhi hiyo muhimu. Baringo ni moja kati ya kaunti 15 zinazolengwa kwa shughuli hiyo.