4 Jun 2026 10:36 am | Citizen TV 430 views Duration: 2:06 Wakaazi wa maeneo ya Waa, Ng'ombeni, Tiwi, Kinondo na Diani kaunti ya Kwale waendelea kushinikiza serikali kuu kuwapimia ardhi na kutoa hati miliki kwa wakaazi ambao wamekaa muda mrefu bila hati miliki.