Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wakimbia makazi yao kutokana na mzozo wa ardhi Ngong

  • | KBC Video
    89 views
    Duration: 1:14
    Hali ya taharuki imetanda katika eneo la Kibiko, Ngong, Kaunti ya Kajiado na viunga vyake, baada ya wakazi kuanza kutoroka makazi yao kwa kuhofia mashambulizi yanayohusiana na mzozo wa umiliki wa ardhi ya kijamii. Makundi mawili hasimu yanadai umiliki wa kipande cha ardhi cha takriban ekari 2,800 katika mzozo ambao umesababisha watu kadhaa kujeruhiwa na mali kuharibiwa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive