Skip to main content
Skip to main content

Wakenya waadhimisha siku ya afya ya kinywa

  • | Citizen TV
    193 views
    Duration: 1:50
    Maafisa wa afya ya kinyua Kwa ushirikiano na Wizara ya afya ya serikali ya kaunti ya Nakuru, wamefanya matembezi ya amani Katikati mwa jiji la Nakuru kuhamasisha umma kuhusu Usafi wa meno na Kinyua wanapoadhimisha siku ya afya ya kinywa duniani.