Skip to main content
Skip to main content

Wakenya wahimizwa kukumbatia miradi ya serikali nchini

  • | Citizen TV
    228 views
    Duration: 1:25
    Makatibu katika wizara mbalimbali wamewahimiza wananchi kukumbatia huduma na miradi ya serikali ili kufaidika kikamilifu na kurahisisha hali ya maisha. Wamesema serikali imewekeza rasilimali nyingi kuhakikisha huduma za kijamii zinapatikana kwa urahisi kwa wananchi wote.