- 279 views
Wakenya wametakiwa kuzingatia kanuni za trafiki ili kuepuka maafa barabarani. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kanuni za usalama wa barabarani, afisa wa uchunguzi katika kampuni ya Directline Wilson Maina alibaini kuwa idadi kubwa ya ajali zinasababishwa na kutofuata kanuni za trafiki. Maina aidha aliipongeza serikali kwa kuzindua matumizi ya teknlojia ili kuimarisha usalama wa madereva na abiria. Kulingana na takwimu kutoa mamlaka ya NTSA, zaidi ya watu 1000 wameangamia kutokana na ajali za barabarani kati ya mwezi Januari na Aprili mwaka huu .
Wakenya watakiwa kuzingatia kanuni za trafiki
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- - Duniani Leo ››
- 1 May 2024 - The Widows Protection Bill is set to be tabled in Siaya County Assembly on May 7
- 1 May 2024 - Among the injured are 10 men, nine women and two children who were saved by the swift action of responders.
- 1 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Here is what you need to know to get up to speed with today’s happenings. Labour Day On May 1, […]
- 1 May 2024 - Reading Time: < 1 minute The Kenya Red Cross has started moving families in Kitengela following floods which have affected the town. In a statement, […]
- 1 May 2024 - Few members of the public have any basic survival skills such as swimming, how to use a fire extinguisher or first aid.
- 1 May 2024 - The residents of Kamuchiri and Jerusalem villages in Maai Mahiu have lost relatives, friends and neighbours.
- 1 May 2024 - Karrine’s 2005 New York Times bestseller, is a cautionary tale on an industry that instilled women’s objectification
- 1 May 2024 - Investing in doctors is an investment in public health.
- 1 May 2024 - Mass transport can only be a reality if the roads are sanitised.
- 1 May 2024 - World Immunization Week