- 382 viewsWatu 11 waliuawa katika mashambulizi mawili karibu na mji wa Beni mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, maafisa wa eneo hilo waliiambia AFP Jumapili, wakituhumu kundi la waasi wa ADF kufanya mashambulizi hayo. “Shambulio lilifanyika Jumamosi usiku na kwa bahati mbaya tulipoteza raia sita, alisema Augustin Kapupa, afisa katika mtaa wa Matembo ambako shambulio la kwanza lilifanyika. Kapupa amewatuhumu waasi wa ADF kuhusika na shambulio hilo, kihistoria likiwa kundi linaloundwa na muungano wa waasi wengi wao wakiwa Waislamu na ambalo lilianzishwa mashariki mwa DRC mwaka wa 1995. Wafuasi wake wameua maelfu ya raia tangu wakati huo. Kundi hilo, moja ya makundi ya wanamgambo yanayotekeleza mauaji mabaya katika eneo hilo lenye mzozo, lilitangaza kuwa chini ya uongozi wa kundi la Islamic State mwaka wa 2019. “Baada ya mauaji ya ADF huko Matembo, walitujia hapa Sayo, na kutuacha tukiomboleza vifo vya watu watano,” alisema mkuu wa eneo hilo Antoine Kambale. Afisa wa Beni, Makofu Bukuku aliiambia AFP kwamba idadi ya vifo huko Sayo inaweza kuongezeka, kwa sababu waasi bado wapo katika eneo hilo. Bukuku amesema alitumai kwamba jeshi la Congo katika eneo hilo, pamoja na wanajeshi wa Uganda na kuwepo kwa kikosi cha kulinda amani cha MONUSCO, ilikuwa inatosha kuwaepusha na hatari ya mara kwa mara. “Tangu mwanzoni mwa mwaka huu, tumerekodi vifo na utekaji nyara tu,” alisema. - AFP #goma #kivukaskazini #jimbo #waasi #m23 #raia #makombora #sake #gavana #cirimwani #mejajenerali #voa #voaswahili #sake #kivukaskazini #hospitali #kituochaafrika #daktarindoolemute #drc #goma
Wakimbizi wakabiliwa na ukosefu wa chakula na tishio la M23
- 27 Apr 2024 - Twenty Cambodian soldiers have been killed in an ammunition explosion at an army base, Prime Minister Hun Manet said Saturday.
- 27 Apr 2024 - Hamas said it had received on Saturday Israel's official response to its latest cease-fire proposal and will study it before submitting its reply, the group's deputy Gaza chief said in a statement.
- 27 Apr 2024 - Britain's King Charles will return to public duties next week for the first time since being diagnosed with cancer as he makes good progress following treatment and a period of recuperation, Buckingham Palace said on Friday.
- 27 Apr 2024 - Kenya and Zimbabwe have agreed to enhance trade and investment in both countries, even as they signed agreements to boost some of the major sectors of the economy.
- 27 Apr 2024 - Immediate former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra's woes have thickened after auctioneers scheduled a date for the sale of his various properties situated in Uasin Gishu County.
- 27 Apr 2024 - KCB FC trounced defending champions Kakamega Homeboyz 1-0 to progress to the semifinals of the Mozzart Bet Cup at Dandora Stadium,Nairobi. Danson Namasaka’s solitary strike in the second half was enough to see the bankers through to the last four. The…
- 27 Apr 2024 - KCB FC trounced defending champions Kakamega Homeboyz 1-0 to progress to the semifinals of the Mozzart Bet Cup at Dandora Stadium,Nairobi. Danson Namasaka’s solitary strike in the second half was enough to see the bankers through to the last four. The…
- 27 Apr 2024 - Gucia Njūngwa yaku twīhīrīte na cia Ūtongoria Matūra-inī twīna Hon Anita Thumbi Kwanyu Mbura no iroira? Are you safe? The post Mwīhīrīto Ūtongoria Matūra-inī first appeared on KBC.
- 27 Apr 2024 - Gucia Njūngwa yaku twīhīrīte na cia Ūtongoria Matūra-inī twīna Hon Anita Thumbi Kwanyu Mbura no iroira? Are you safe?
- 27 Apr 2024 - According to Ruto, the radical revitalisation of the new monetary policy would contribute greatly to the country’s economic resurgence.