- 222 viewsDuration: 2:52Wakulima katika kaunti ya Trans Nzoia wanalalamikia uhaba wa mbolea huku msimu wa upanzi ukiwa tayari umeanza. Katika kaunti ya Trans Nzoia, wakulima wamekuwa wakipiga kambi nje ya ofisi za bodi ya nafaka na mazao ya NCPB kutaka maelezo kuhusu ni lini watapata mbolea ili kuwawezesha kuendelea na upanzi.