Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa chai waunga mkono ukaguzi wa mahesabu ya viwanda katika Kaunti ya Kericho

  • | Citizen TV
    174 views
    Duration: 1:38
    Wakulima wa majani chai wa viwanda wa Tegat na Toror katika Kaunti ya Kericho wameunga mkono hatua ya kuitisha ukaguzi wa mahesabu wa viwanda vya KTDA kote nchini.