- 180 viewsDuration: 1:14Wakati huu Mvua ya masika imeanza kunyesha katika sehemu mbali mbali nchini, wakulima katika kaunti ya Kitui wamehimizwa kuanza kupalilia mazao yao. Mkurugenzi wa idara ya utabiri wa Hali ya hewa wa Kitui, Daniel Mbithi, amesema mvua ya kutosha kukuza mimea itaendelea kunyesha katika kaunti hiyo.