Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa maziwa katika Kaunti ya Nandi wanataka serikali kuwekeza katika sekta ya Maziwa

  • | Citizen TV
    259 views
    Duration: 1:40
    Wakulima wa maziwa katika Kaunti ya Nandi wanataka serikali kuwekeza katika vifaa vya kuhifadhi maziwa katika maeneo mbalimbali ya kaunti hiyo, ili kupunguza hasara inayotokana na kuharibika kwa maziwa mbali na kukabiliana na unyanyasaji kutoka kwa madalali.