Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa viazi wahimizwa kutumia Teknolojia

  • | Citizen TV
    305 views
    Duration: 3:30
    Wakulima wa viazi nchini wanahimizwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuongeza uzalishaji wa kibiashara. Mojawapo ya mbinu zinazopendekezwa ni matumizi ya mbegu zilizoimarishwa.