- 161 views
Kupanda kwa bei ya bidhaa za petroli kutokana na nyongeza ya ushuru kutoka 8% hadi 16% , wakulima wanaotumia petroli kunyunyizia mashamba yao maji wanasema kupanda kwangharama ya petroli kunaathiri uzalishaji wa vyakula. Akizungumza eneo la Taveta , mwenyekiti wa shirika la wakulima eneo hilo, Daudi Mbele, amesema kuwa wakulima wengi hutumia mafuta na gesi kuzalisha chakula na hivyo wameathirika na nyongeza ya bei ya mafuta. Baadhi wamelazimika kusitisha kilimo na kujitosa kwenye shughuli zingine za kibiashara ili kukidhi mahitaji ya familia zao.
Wakulima walalamikia gharama ya juu ya petroli katika uzalishaji wa chakula kaunti ya Taita Taveta
- 12 Aug 2025 - The DP said the decision by President William Ruto remains in force and is meant to do away with past discriminatory tendencies targeting some communities.
- 12 Aug 2025 - Milimani Senior Principal Magistrate Carolyne Mugo issued the order following a request by the prosecution for three days to compile the report.
- 12 Aug 2025 - Nominated Senator Hezena Lemaletian has secured temporary court orders restraining her estranged boyfriend, Musa Hussein Lenyumpa, from harassing or contacting her in any way.
- 12 Aug 2025 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has revoked a Privately Initiated Proposal (PIP) to construct the Nairobi-Mombasa (Usahihi) expressway.
- 12 Aug 2025 - The agreement was reached during the 7th Session of the Kenya–Iran Joint Commission for Cooperation (JCC) held in Nairobi, co-chaired by Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Iran’s Minister of Agricultural Jihad, Dr. Gholamreza Nouri Ghezalcheh.
- - President Ruto: Youth are Kenya’s greatest asset in shaping the nation’s future
- - Ojwang murder: Court orders pre-bail report in computer fraud case against Brian Rono
- 12 Aug 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has recovered public land in Kakamega valued at Ksh.20 million belonging to the Ministry of Housing.
- 12 Aug 2025 - Senior Principal Magistrate Dolphina Alego dismissed the request, ruling that Khatwani had failed to present sufficient justification for the release of his travel document, which is currently held in court as part of his bail conditions in a Sh356…
- 12 Aug 2025 - Gachagua had recently criticised leaders using choppers to tour the country.