- 32 views
Hatibu wa serikali Isaac Mwaura amesisitiza kuwa wakulima walionunua mbolea ya kiwango cha chini watafidiwa wote. Akizungumza jijini Mombasa, Mwaura pia alithibitisha kuwa mbolea hiyo iliyosambazwa na kampuni ya KEL Chemicals ilikuwa ya viwango vya chini na hatua itachukuliwa dhidi ya wasambazaji na maafisa wa shirika la humu nchini la kukadiria ubora wa bidhaa KEBS. Maafisa wanane wa ngazi za juu katika shirika la KEBS tayari wamesimamishwa kazi kuhusiana na kutolewa kwa uidhinisaji na nembo za ubora kwa kampuni mbili zilizohusishwa na mbolea hiyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Wakulima wote walioathirika kwenye sakata ya mbolea ghushi kufidiwa na serikali
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- 3 May 2024 - The Kenya Meteorological Services has warned Nairobi County residents of the possibility of experiencing intensified rainfall on Friday.
- 3 May 2024 - First Lady Rachel Ruto has distributed food and household items to 203 families, totalling 1,131 individuals, affected by flooding in Thika West, Kiambu County.
- 3 May 2024 - President William Ruto has directed the Ministry of Education to postpone the school opening date following the crisis occasioned by the ongoing heavy rains.
- 3 May 2024 - Raila issued the ultimatum during a food distribution event in Embakasi South, Nairobi.
- 3 May 2024 - The ministers also set timelines for the development of the mega project.
- 3 May 2024 - The run last year raised enough money to support 22 needy medical students.
- 3 May 2024 - Brace for heavier rains today, warns weatherman
- 3 May 2024 - Bumula MP's wife Nyambura charged with fraud
- 3 May 2024 - In a joint Communique on Friday, the Ministers welcomed the commitments of Partner States to commence construction of Naivasha-Kisumu-Malaba, Malaba-Kampala and Kampala- Bihanga-Kasese-Mpondwe leading into DRC.
- 3 May 2024 - Interior ministry said the government has made specific interventions to meet their essential food supplies