- 249 viewsDuration: 3:01Wakulima zaidi ya elfu 60 kaunti ya Makueni watapata mafunzo ya jinsi ya kuhifadhi mavuno yao na kuzuia kupotea kwa mavuno baada ya kuvuna huku ikibainika wakulima hupoteza zaidi ya asilimia 30 ya mavuno yao kupitia njia tofauti