- 493 viewsWakuu wa vyama vya wafanyakazi Ufaransa wamesema hawajaridhishwa kabisa na matamshi ya Rais Macron na wametangaza siku nyingine ya maandamano na migomo, Alhamisi kote nchini. Rais Macron hata hivyo ameeleza kuwa mpango wa mfumo wa malipo ya uzeeni uanze kutekelezwa ifikapo mwisho wa mwaka 2023. Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili kuhusu utekelezaji wa mfumo huo ikiwemo umri wa kustaafu kuwa ni miaka 64. Endelea kusikiliza... #wafanyakazi #vyama #ufaransa #rais #emmanuelmacron #mfumo #malipoyauzeeni #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wakuu wa vyama vya wafanyakazi wakerwa na matamshi ya Rais Macron
- 27 Jul 2024 - G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
- 27 Jul 2024 - What if President Ruto wakes up and fires the CSs like he did the other day?
- 27 Jul 2024 - Residents say despite receiving valid court orders, private developers continue their activities unabated
- 27 Jul 2024 - The entities increased their spending by Sh591 million
- 27 Jul 2024 - Audit flags losses at the companies which are heavily in debt
- 27 Jul 2024 - The changes allowed state officers and their families to do business with the government.
- 27 Jul 2024 - Western Kenya and parts of Rift Valley will continue to have rains in the morning.
- 27 Jul 2024 - Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction
- 27 Jul 2024 - Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
- 27 Jul 2024 - My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial