30 Apr 2026 1:51 pm | Citizen TV 169 views Duration: 2:16 Wazazi wenye Watoto walemavu ambao wamefikisha umri wa kuchukua vitambulisho wameshauriwa kuhakikisha wanajisajili kama wapigaji kura ili kutekeleza haki yao ya kufanya maamuzi katika uchaguzi mkuu mwaka ujao.