- 170 viewsDuration: 3:52Walemavu takribani 1200 kutoka eneo bunge la Kimilili kaunti ya Bungoma, wanufaika na vifaa vya kuwasaidia kwenye usafiri. Hii ni kwa mara ya kwanza kabisa kihistoria, kwa idadi kubwa ya walemavu kupata msaada huo bila malipo katika eneo hilo.