Skip to main content
Skip to main content

Walimu Isiolo wapata mafunzo ya utekelezaji wa mtaala wa kompyuta

  • | Citizen TV
    354 views
    Duration: 1:47
    Walimu 35 kutoka shule za umma katika kaunti ya Isiolo wamepata mafunzo maalum ya kuimarisha utekelezaji wa mtaala mpya wa somo la kompyuta shuleni.Mafunzo hayo yanalenga kuwajengea walimu uwezo wa kufundisha somo hilo kwa ufanisi, huku yakichangia kuimarisha matumizi ya teknolojia katika utekelezaji wa mtaala mpya.