Skip to main content
Skip to main content

Walimu wa sayansi wataka mageuzi ya kuimarisha elimu ya umilisi

  • | Citizen TV
    143 views
    Duration: 1:45
    Kikundi cha walimu wa masomo ya sayansi na teknolojia nchini kinatoa wito kwa Wizara ya Elimu kuweka mikakati itakayowasaidia wanafunzi kuziba pengo lililopo kati ya masomo yanayofunzwa darasani katika mfumo wa elimu unaozingatia umilisi na uzoefu halisi kwenye soko la ajira.