- 5 views
Walimu, wanafunzi na wazazi wanaendelea kusherehekea matokeo ya mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne, KCSE huku waliosoma kwenye mazingira magumu wakiwashangaza wengi kwa kupata alama za juu. Kwa mfano, katika kaunti ya kakamega, pacha wamewashangaza wengi kwa kupata alama sawa japo ugonjwa wa mama yao mzazi umekuwa ukiwanyima usingizi kila kuchao. Shule ya upili ya wasichana ya bahari kaunti ya Kilifi nayo imeandikisha historia baada ya kuwa ya kwanza ya umma katika kaunti hiyo kuwa na mwanafunzi aliyepata alama ya. Matukio hayo likiwemo la mwanafunzi aliyepata alama ya a katika shule ya upili ya wavulana ya Alliance kuchinjiwa mbuzi na wazazi wake huko kapsabet
Walimu, wanafunzi na wazazi wanaendelea kusherehekea matokeo ya mtihani wa KCSE
- 18 Aug 2025 - The county government of Machakos has announced that it is ready to negotiate with nurses to end the ongoing strike.
- 18 Aug 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged residents of Rift Valley to rally behind President William Ruto in his bid for a second term, arguing that his performance has dwarfed that of his predecessors.
- 18 Aug 2025 - Five suspects are awaiting arraignment after being found in possession of bhang and other stolen items after a crackdown in Kakamega.
- 18 Aug 2025 - In Egypt's Wadi al-Gemal, where swimmers share a glistening bay with sea turtles, a shadowy tourism deal is threatening one of the Red Sea's last wild shores.
- 18 Aug 2025 - US President Donald Trump said reclaiming Crimea or entering NATO were off the table for Ukraine, as President Volodymyr Zelensky arrived in Washington for Monday's talks aimed at ending the war with Russia.
- 18 Aug 2025 - Police believe the boy was murdered at the scene.
- 18 Aug 2025 - It comes as the Ukrainian president lands in the US for White House talks on Ukraine's future.
- 18 Aug 2025 - The deceased had arrived home from prayer sessions
- 18 Aug 2025 - The incident disrupted traffic.
- 18 Aug 2025 - Mbadi said that the Kenya Kwanza government will traverse the country to listen to the people