- 4,395 views
Maafisa wa polisi kutoka eneo la Manga, eneo bunge la Borabu katika kaunti ya Nyamira wamewatia mbaroni walimu 5 kutoka shule ya msingi ya Riang'ombe. kati ya waliotiwa mbaroni ni pamoja na mwalimu mkuu na naibu mwalimu mkuu. hii ni baada ya mwanafunzi wa gredi ya 4 kuchapwa na kuumizwa vibaya na mwalimu katika shule hiyo. mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 9 anaripotiwa kwenda kwa mwalimu mmoja kuripoti kuwa shati lake lilikuwa limeibiwa, kabla ya mwalimu huyo kuwaamuru wanafunzi wa darasa la nane kumshika mtoto huyo, na kumpiga viboko 107 vilivyomwacha na majeraha mabaya makalioni.Mwalimu huyo Jackson Marucha anaripotiwa kuwa mafichoni kwani tangu Alhamisi hajafika shuleni.
Walimu watano wanazuiliwa na maafisa wa polisi Nyamira kwa kumcharaza mwanafunzi viboko 107
- - Mustakabali Wa Siasa ››
- 13 May 2025 - Magistrate BenMark Ekhubi delivered the ruling on Tuesday, allowing an application by the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP).
- 13 May 2025 - The floods were triggered by heavy rainfall in the nearby Eburru Forest, which sent torrents of water cascading down into surrounding villages. The sudden deluge left a trail of destruction in its wake, washing away property, submerging farmland, and…
- 13 May 2025 - Jude Chesire, the CEO of the Kenya Sugar Board, has asserted that all private investors in the sugar sector will have their licenses revoked by the State if they underdeliver.
- 13 May 2025 - In a decision delivered by Justice R. Nyakundi, the court issued conservatory orders prohibiting the committee—established through Gazette Notice No. 4069, Vol. CXXVII—No. 64 dated March 28, 2025—from compiling reports, issuing recommendations, or…
- 13 May 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has admitted that Haiti's Multinational Security Support Mission has been operating without the necessary equipment and support.
- 13 May 2025 - Kenyans have been invited to submit their views on the changes before May 27.
- 13 May 2025 - In the ruling, the court ordered the defendants to file their responses within 7 days.
- 13 May 2025 - The notice affects motorists and other stakeholders in the motor vehicle sector.
- 13 May 2025 - The DPP, through Principal Prosecution Counsel Victor Owiti, persuaded the court that the offences for which the fugitive is sought are indeed extraditable, as they also amount to offences under Kenyan law.
- 13 May 2025 - The matatu was filmed while being driven recklessly before a crash.