- 4,395 views
Maafisa wa polisi kutoka eneo la Manga, eneo bunge la Borabu katika kaunti ya Nyamira wamewatia mbaroni walimu 5 kutoka shule ya msingi ya Riang'ombe. kati ya waliotiwa mbaroni ni pamoja na mwalimu mkuu na naibu mwalimu mkuu. hii ni baada ya mwanafunzi wa gredi ya 4 kuchapwa na kuumizwa vibaya na mwalimu katika shule hiyo. mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 9 anaripotiwa kwenda kwa mwalimu mmoja kuripoti kuwa shati lake lilikuwa limeibiwa, kabla ya mwalimu huyo kuwaamuru wanafunzi wa darasa la nane kumshika mtoto huyo, na kumpiga viboko 107 vilivyomwacha na majeraha mabaya makalioni.Mwalimu huyo Jackson Marucha anaripotiwa kuwa mafichoni kwani tangu Alhamisi hajafika shuleni.
Walimu watano wanazuiliwa na maafisa wa polisi Nyamira kwa kumcharaza mwanafunzi viboko 107
- 29 Mar 2024 - President William Ruto has shared a message of hope, ushering in the Easter holidays.
- 29 Mar 2024 - Senior Principal Magistrate Joe Mkutu has freed 48 persons who had been arrested and charged for selling and smoking shisha in January 2024.
- 29 Mar 2024 - On Thursday evening, the IEC upheld an objection against Mr Zuma's candidature in the upcoming elections due on May 29.
- 29 Mar 2024 - Prime Cabinet Secretary and Foreign Affairs CS Musalia Mudavadi has highlighted the role of tech diplomacy in enhancing diplomatic outreach, networking, and global visibility while fostering cultural exchanges.
- 29 Mar 2024 - A bus crash in South Africa's northern province of Limpopo resulted in 45 deaths and one serious injury, South Africa's Department of Transport said on Thursday.
- 29 Mar 2024 - US Ambassador to the UN Linda Thomas-Greenfield said the warring parties had both undermined aid operations and ignored a Security Council call for an immediate truce.
- 29 Mar 2024 - In 2017, Uhuru spent over Ksh437.7 million for former CS Amina Mohamed's unsuccessful bid for AUC chairperson.
- 29 Mar 2024 - Chira was laid to rest on Tuesday, March 26, at his rural home in Githunguri in Kiambu County.
- 29 Mar 2024 - Two people died while two others sustained injuries following an accident that involved two private vehicles at Rakwaro area on Rongo-Awendo highway in Migori County
- 29 Mar 2024 - "We are interested in Kenya because it is the hub for technology in Africa."