- 9 views
Wakenya milioni ishirini na tano ambao wamekopa shilingi bilioni sitini na mbili nukta nane katika hazina ya hasla, wote wameorodheshwa katika gredi tisa tofauti kuonyesha uwezo wao wa kulipa mikopo huku walio na uwezo wa chini kabisa wakizuiliwa kupata mikopo mingine ya hazina serikali kama vile ya uwezo na ya vijana. Kulingana na katibu mkuu wa biashara na vyama vidogo vidogo vya ushirika susan mange'eni, ambao wameshindwa kulipa madeni watapunguziwa viwango vya mikopo wanayoweza kupata ila hawataorodheshwa katika CRB.
Walio na gredi mbovu za ulipaji mikopo ya hazina ya hasla hawatapokea mikopo mingine ya serikali.
- 18 Aug 2025 - The county government of Machakos has announced that it is ready to negotiate with nurses to end the ongoing strike.
- 18 Aug 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged residents of Rift Valley to rally behind President William Ruto in his bid for a second term, arguing that his performance has dwarfed that of his predecessors.
- 18 Aug 2025 - Five suspects are awaiting arraignment after being found in possession of bhang and other stolen items after a crackdown in Kakamega.
- 18 Aug 2025 - In Egypt's Wadi al-Gemal, where swimmers share a glistening bay with sea turtles, a shadowy tourism deal is threatening one of the Red Sea's last wild shores.
- 18 Aug 2025 - US President Donald Trump said reclaiming Crimea or entering NATO were off the table for Ukraine, as President Volodymyr Zelensky arrived in Washington for Monday's talks aimed at ending the war with Russia.
- 18 Aug 2025 - Police believe the boy was murdered at the scene.
- 18 Aug 2025 - It comes as the Ukrainian president lands in the US for White House talks on Ukraine's future.
- 18 Aug 2025 - The deceased had arrived home from prayer sessions
- 18 Aug 2025 - The incident disrupted traffic.
- 18 Aug 2025 - Mbadi said that the Kenya Kwanza government will traverse the country to listen to the people