Skip to main content
Skip to main content

Waliojeruhiwa Kasarani waomba msaada wa serikali kulipa gharama za hospitali na fidia

  • | Citizen TV
    473 views
    Baadhi ya waliojeruhiwa wakati wa maombolezi ya hayati Raila Odinga uwanjani Kasarani wanaiomba serikali kuwasaidia kulipa gharama ya hospitali na fidia kwa waliwaopoteza wapendwa wao. Vivian Susan Mahebo alipigwa risasi mbili huko Kasarani na tangu siku hiyo maisha yake yamekuwa magumu