- 9 views
Juhudi za kumrekebisha mtoto wa kiume kutokana na uraibu wa dawa za kulevya na pombe zilizoanzishwa na mkewe naibu wa rais Mchungaji Dorcas Rigathi zimezaa matunda baada ya waraibu wawili wa zamani kufunga ndoa katika harusi ya kufana iliyoandaliwa katika kanisa la PCEA Raiyani katika kaunti ndogo ya Githunguri kaunti ya Kiambu. Fidelis Njeri na Simon Kihara ambao walikutana kupitia mpango wa kijamii wa kurekebisha tabia mnamo 2021. Mpango huo ulianzishwa na mkewe rais mchungaji Dorcas Rigathi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Waliokuwa waraibu wafunga ndoa Githunguri
- - 🔴LIVE|| TV47 WIKENDI ››
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 4 May 2024 - Indian cartoonist Rachita Taneja and Hong Kong's Zunzi were awarded the biennial Kofi Annan Courage in Cartooning Award on Friday, which is International Press Freedom Day.
- 4 May 2024 - Hope Hicks, a former top aide to Donald Trump, testified on Friday that staffers on his 2016 presidential campaign were alarmed when they learned that a tape in which he made lewd comments about women was about to be made public.
- 4 May 2024 - Assimilation of the corps into the mainstream military did away with restrictions imposed on women.
- 4 May 2024 - Survey shows the young workers want freedom to work from home or office.
- 4 May 2024 - The 11-member select committee is expected to begin its work next Tuesday.
- 4 May 2024 - The changes were adopted during a meeting chaired by Ruto at State House.
- 4 May 2024 - Nursing mothers at Kahawa Wendani Primary School face shortage of essential supplies like diapers, sanitary pads, and nutritious food.
- 4 May 2024 - The authority says the cyclone is expected to persist until May 6, 2024, and weaken thereafter.
- 4 May 2024 - It’s just a really great tune, TikTokkers say.
- 4 May 2024 - President Ruto is expected to travel to the US this month, which could catalyse the process.