- 175,612 viewsMnamo Juni 25, 2024, damu ilimwagika katika Bunge la Kenya. Siku hiyo, maelfu ya waandamanaji walielekea bungeni ili kusitisha muswada wa fedha #FinanceBill2024 kupitishwa kuwa sheria. Njiani walikutana na mabomu ya machozi, virungu, na hata milio ya risasi. Walipofika huko, na kulivamia bunge, baadhi ya milio ya risasi hiyo ikageuka kuwa hatari zaidi Takriban watu watatu waliuawa: mwanafunzi, muuza duka, na mwalimu. Tangu wakati huo, hakuna mtu aliyeshikiliwa kuwajibika kwa vifo vyao. Sasa, #BBCAfricaEye inawafichua walisababisha damu kumwagika nje ya viwanja vya Bunge Kenya. #bbcswahili #financebill #financebill202 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Walioua vijana bungeni Kenya wafichuliwa
- 20 May 2025 - The Mediheal Group of Hospitals has moved to court seeking direction on the handling of patients and donor information by the independent investigative committee formed by Health Cabinet Secretary Aden Duale to probe alleged kidney trafficking at the…
- 20 May 2025 - Trans Nzoia Governor George Natembeya has been released on a Ksh.1 million bond or an alternative cash bail of Ksh.500,000 after denying corruption charges involving the alleged unlawful acquisition of over Ksh.3.2 million in county funds.
- 20 May 2025 - The EACC has summoned owners of auctioneer firms allegedly involved in the sale of Matili Technical Training Institute assets over a fraudulent debt.
- 20 May 2025 - A Garissa MCA is on the spotlight after footage emerged of him storming a restaurant while armed with a knife and then chasing customers around.
- 20 May 2025 - Police in Kirinyaga County have arrested a 25-year-old man for allegedly killing his father at Karumandi in Gichugu Constituency.
- 20 May 2025 - KMPDC has taken decisive action against substandard private healthcare facilities across the country, resulting in the closure of 511 establishments in just three counties.
- 20 May 2025 - This is the second time the tycoon is coming after Kenya.
- 20 May 2025 - This comes at a time when unemployment in the country has skyrocketed.
- 20 May 2025 - Kalonzo claimed that the president had panicked as the opposition coalesced together to unseat him.
- 20 May 2025 - An application has been filed in court seeking to prevent the withdrawal of petitions challenging the removal of former Deputy President Rigathi Gachagua.