- 5,922 viewsMaandamano kufuatia kuvuja kwa rasimu ya Mahakama Kuu kuhusu kubadili sheria ya kihistoria ya kuhalalisha utoaji mimba ya mwaka 1973 yanafanyika kote Marekani ... ... Wakati huo huo Rais Joe Biden akosoa vikali rasimu hiyo inayozusha mvutano mkubwa hapa nchini kwa wakati huu. Suala hilo linatarajiwa kuwahamasisha wapiga kura. - Umoja wa Ulaya wapendekeza hatua kali zichukuliwe dhidi ya Russia ikiwemo kupiga marufuku ununuzi wa mafuta yake na vikwazo kwa washukiwa wa uhalifu wa kivita. - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wamarekani waandamana kufuatia kuvuja rasimu ya Mahakama Kuu iliyo dhidi ya utaoji mimba
- 25 Apr 2024 - Germany is waging a charm offensive inside the Republican Party. Japan is lining up its own Trump whisperer. Mexican government officials are talking to Camp Trump. And Australia is busy making laws to help Trump-proof its U.S. defense ties.
- 25 Apr 2024 - Police in Nairobi have launched a manhunt for city preacher James Wanjohi in an investigation into a Ksh.600 million job racket.
- 25 Apr 2024 - Germany's domestic spy agency told companies on Wednesday they should be on guard against industrial espionage by Beijing, warning them not to be naive or over-reliant on China.
- 25 Apr 2024 - TikTok's chief executive said on Wednesday that the company expects to win a legal challenge to block legislation signed into law by President Joe Biden that he said would ban the popular short video app used by 170 million Americans.
- 25 Apr 2024 - A family in Ilchamus ward, Baringo County has been plunged into mourning following the death of four of its members who passed away in a boat capsizing incident on Kokwa Island, Baringo County on Sunday.
- 24 Apr 2024 - KMPDU has announced a peaceful protest by doctors in Nairobi, as the medics' strike rages on 42 days later.
- 24 Apr 2024 - The doctors' strike entered its 42nd day on Wednesday, even as both the medics and Ministry of Health as well as the county governments maintained their stances.
- 24 Apr 2024 - Raila Odinga is now appealing to President William Ruto to declare the ongoing heavy floods a national disaster, amid rising cases in displacement and deaths across various parts of the country.
- 24 Apr 2024 - The EACC, through spokesperson Eric Ngumbi, announced in a press briefing that the two were part of nine individuals apprehended regarding a probe initiated back in 2014.
- 24 Apr 2024 - Police officers in Mombasa County on Wednesday morning conducted a crackdown on suspected muggers within the CBD and its environs.