- 614 viewsMamia ya wanafamilia waliokata tamaa kwa ajili ya ndugu zao wachimba madini haramu waliokwama kwenye mgodi Afrika Kusini wamemiminika nje ya mgodi huo wakisubiri kwa matumaini kuwa wapendwa wao watatoka chini ya ardhi. Wachimbaji wako katika mvutano na polisi ambao wamezuia kupelekewa chakula na maji, na wanajaribu kuwalazimisha kutoka ili wakamatwe kwa sababu ya kuingia kinyume cha sheria kwenye machimbo ulioachwa wakitafuta dhahabu zilizobaki , hili ni tatizo la kawaida Afrika Kusini. Zaidi ya wachimbaji haramu 1000 tayari wametoka katika wiki za karibuni huku polisi wakiwakamata na kulikuwa na maiti moja iliyopatikana. Haiko wazi kama wale waliobaki katika mgodi wa Stilfontein katika jimbo la NorthWest hawako tayari au hawakuweza kutoka nje ya shimo lenye urefu wa zaidi ya kilomita 2 chini ya ardhi. Ndugu na marafiki wakishinikiza kuwepo mabadiliko katika mfumo wa uchambaji madini ya dhahabu katika mgodi ambao wachimbaji haramu wamekwama, Afrika Kusini, Ijumaa, Nov 15, 2024. Ndugu na marafiki wakishinikiza kuwepo mabadiliko katika mfumo wa uchambaji madini ya dhahabu katika mgodi ambao wachimbaji haramu wamekwama, Afrika Kusini, Ijumaa, Nov 15, 2024. Polisi na wana jumuiya walisimama karibu na mlango wa mawe kwenye sehemu ya kuingilia ambako kulikuwa na kifaa kilichowekwa kwa ajili ya kuwavuta nje wanaume hao. Mwanafamilia Shona Roselina anasema: “ Ndio tunao wanafamilia zaidi ya 20 , waliokuja kutoka Chipinge nchini Zimbabwe. Tunatumai watatoka nje ili tuwapeleke nyumbani. Mmoja ana mke ambaye yuko hapa. Analia, hatujui jinsi ya kumsaidia. Mume wake alikwenda chini ya ardhi mwezi Aprili na amekuwa huko hadi sasa. Hakuna chakula , hakuna kitu. Tunajaribu kuwasaidia.” - Reuters #Stilfontein #madini #mgodi #dhahabu #wachimbaji #afrikakusini
wanafamilia wa wachimba madini haramu wakusanyika nje ya mgodi
- - Taarifa za Biashara ››
- 18 Jun 2025 - The gunmen attacked after dark and chased farmer Fidelis Adidi away from the central Nigerian village of Yelwata. The next morning, he returned to find the charred remains of one of his two wives and four of his children.
- 18 Jun 2025 - Togo has suspended broadcasts of French state-funded international news outlets RFI and France 24 for three months, its communications authority said on Monday, accusing them of a lack of impartiality and rigour.
- 18 Jun 2025 - Russia launched dozens of drones and missiles at Kyiv in the early hours of Tuesday, killing at least 10 people and wounding dozens of others, as negotiations faltered between Kyiv and Moscow.
- 18 Jun 2025 - Detectives investigating the murder of blogger Albert Ojwang’ were yesterday sifting through the call data records (CDR) to establish any possible communication between Deputy Inspector General of Police Eliud Lagat and the officers linked to the death…
- 18 Jun 2025 - The Senate and the National Assembly have, for the third time, failed to agree on equitable revenue sharing for county governments in the 2025-26 financial year, with both houses maintaining hardline stances during ongoing mediation. During the June 17…
- 18 Jun 2025 - A group of former political prisoners has called on Raila Odinga’s opposition faction to withdraw from the broad-based government, arguing this would pave the way for forming a new administration. The group – including prominent figures such as Oginga…
- 18 Jun 2025 - CAK eyes forensic lab, stricter laws to enhance consumer protection
- 18 Jun 2025 - From pitching tents to the sought-after events planner
- 18 Jun 2025 - House team wants BATUK grilled over atrocities
- 18 Jun 2025 - Dad's wisdom and strange economics of the toilet