- 5,546 views
Wanafunzi 11 wa chuo kikuu cha Kenyatta wameaga dunia huku wengine 46 wakipata majeraha kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea katika eneo la Maungu huko Voi jana usiku. Mipango ya kusafirisha maiti ya wanafunzi hao hadi hospitali ya rufaa ya chuo hicho inaendelea...Ajali hiyo ilitokea pale basi la chuo lilipogongana na lori katika eneo hilo la Maungu kwenye barabara kuu ya Nairobi kueleka Mombasa...Waliojeruhiwa wamelazwa katika hospitali tofauti za eneo hilo huku wengine wakisafirishwa kwa ndege hadi hapa jijini nairobi kwa matibabu maalum .
Wanafunzi 11 wa chuo kikuu cha Kenyatta wafariki
- 29 Apr 2024 - Lilian Seenoi-Barr was selected by the Social Democratic and Labour Party (SDLP) to become the next mayor of Derry City and Strabane District Council.
- 29 Apr 2024 - Imagine turning on the tap, and instead of the comforting rush of water, there's only silence. This is the reality of residents of Sabatia, Vihiga County, where the spectre of non-revenue water (NRW) looms large, casting a shadow over daily life.
- 29 Apr 2024 - Nairobi Senator Edwin Sifuna has stated that the Nairobi County government is overwhelmed by the ongoing rains which have claimed many lives and left many displaced.
- 29 Apr 2024 - The government has directed County Security and Intelligence Committees (CSICs) across the country to inspect all public and private dams and water reservoirs by 2 p.m. Tuesday.
- 29 Apr 2024 - Roads and Transport Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has pleaded with Kenyans to heed all safety directives issued by the national and county governments on the ongoing floods to avert further loss of lives.
- 29 Apr 2024 - Traditionally, masturbation has been something that is acceptable for boys.
- 29 Apr 2024 - CS Mvurya said the ongoing heavy rains and flooding call for great care to avoid possible danger.
- 29 Apr 2024 - In emergencies, the presence of individuals trained in first aid can make a critical difference.
- 29 Apr 2024 - The former CS lauded the government for postponing the reopening of schools.
- 29 Apr 2024 - Tana River DCC Mutua says stern action will be taken against anyone found defying the order