- 543 viewsDuration: 2:24Maafisa wa afya kaunti ya Trans Nzoia wanachunguza tukio ambapo wanafunzi 23 waliugua baada ya kula maembe shuleni. Wanafunzi hao wa darasa la nne katika shule ya Big Tree Comprehensive walianza kuumwa na tumbo baada ya kuripotiwa kula maembe hayo. Waliozidiwa walitibiwa hospitali ya Wamalwa Kijana HUKO Kitale