- 101 views
Ni afueni kwa wanafunzi 2,500 wa somo la udaktari na uuguzi katika chuo kikuuu cha kenyatta baada ya bodi ya hospitali ya mafunzo na utafiti ya chuo kikuu cha kenyatta kuwaruhusu wanafunzi kupokea mafunzo katika hospitali hiyo. inaarifiwa kuwa wanafunzi wa chuo hicho wamekuwa wakipokea mafunzo katika chuo cha kiambu kwa miaka miwili kutokana na changamoto za fedha za hospitali ya chuo cha kenyatta ambayo ilisababisha ukosefu wa vifaa vinavyohitajika kwa mafunzo ya udaktari.
Wanafunzi 2,500 wa udaktari kurejelea masomo KUTRRH
- 20 Jul 2025 - A third suspect is still at large.
- 20 Jul 2025 - Move by ministry meant to optimise resource use amid growing financial constraints.
- 20 Jul 2025 - "There is no government that has employed more teachers than this one."
- 20 Jul 2025 - Other than rest, residents in will also face heavy fines.
- 20 Jul 2025 - The students marched out of the school compound at night.
- 20 Jul 2025 - Trump insists Iran nuclear sites destroyed amid reports some survived
- 20 Jul 2025 - Ukraine interests
- 20 Jul 2025 - Why patients abandoned by family have turned KNH wards into their home
- 20 Jul 2025 - How Ruto is bandying terror charges to scare Gen-Z from demos
- 20 Jul 2025 - Reports say the Druze fighters on Saturday pushed out Bedouin gunmen from the city of Suweida