Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi 43 katika kaunti ya Vihiga wamepokea ufadhili kutoka kwa wakfu wa Rodgers Bwosi

  • | Citizen TV
    199 views
    Duration: 1:44
    Wanafunzi 43 katika kaunti ya vihiga kutoka familia zisizojiweza wamepokea ufadhili wa ksh 500,000 kutoka kwa wakfu wa Rodgers Bwosi ili kuendeleza masomo yao, akilenga kupunguza umaskini kupitia elimu.