13 Mar 2026 10:25 am | Citizen TV 199 views Duration: 1:44 Wanafunzi 43 katika kaunti ya vihiga kutoka familia zisizojiweza wamepokea ufadhili wa ksh 500,000 kutoka kwa wakfu wa Rodgers Bwosi ili kuendeleza masomo yao, akilenga kupunguza umaskini kupitia elimu.