Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi watatu waliounda Roboti Laikipia watawakilisha kenya kwenye mashindano

  • | Citizen TV
    727 views
    Duration: 2:09
    Wanafunzi watatu kutoka Shule ya Msingi na ya Sekondari ya Sweet Waters kaunti ya Laikipia wanajiandaa kuiwakilisha Kenya katika mashindano ya ulimwengu ya roboti yatakayofanyika nchini Singapore mwezi Novemba mwaka huu.