Wanaharakati katika kaunti ya Makueni wataka wabunge kutupilia mbali mswada wa Esther Passaris

  • | Citizen TV
    470 views

    Wanaharakati kaunti ya Makueni wamewataka wabunge kutupilia mbali msawada unaopendekezwa na mwakilishi wa kike wa kaunti ya Nairobi Esther Pasaris wa kudhibiti maandamano.