- 6,875 viewsDuration: 3:04Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini wamekashifu matamshi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhusu kuwapiga wanaharakati na vijana wa Gen-Z wanaotetea demokrasia nchini Kenya na Tanzania. Wanaharakati hao wamesema kuwa Rais Suluhu anaeneza ukandamizaji Afrika Mashariki na kukiuka haki kufuatia matamshi yake.