Wanaharakati: Watu 1,700 watumiwa kufanya ushawishi COP29
Kikundi cha wanaharakati walitumia nyoka mkubwa wa bandia kama nyenzo ya kufikisha ujumbe ndani ya ukumbi wa kongamano la COP 29 Ijumaa (Novemba 15) wakishinikiza kuwa watu wanaofanya ushawishi kwa niaba ya wachimbaji mafuta na gesi asilia katika mkutano huo kutolewa nje ambapo nchi mbalimbali zinajaribu kufikia makubaliano kuchukua hatua kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Ripoti ya Muungano wa kikundi cha Kick Out the Polluters Coalition ilisema zaidi ya washawishi 1,700 walikuwa wanahudhuria mkutano huo wa kila mwaka wa hali ya hewa. Mwaka 2023 kulikuwa na zaidi ya watu 2,400 waliokuwa wanafanya ushawishi kuhusu katika COP 28, lakini mahudhurio ya COP yalikuwa ni idadi kubwa zaidi kwa jumla. -Reuters
#cop29 #azerbaijan #fossilfuels #voaafrica #lobbyists #maandamano #voa #voaswahili
5 Aug 2025
- According to the CS, all schools will be affected.
5 Aug 2025
- This comes days after the application window for the September intake closed.
5 Aug 2025
- Thousands of Kenyans have not yet paid their HELB loans.
5 Aug 2025
- Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
5 Aug 2025
- Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
5 Aug 2025
- Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
5 Aug 2025
- The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
5 Aug 2025
- The meeting comes about a month after the Registrar of Political Parties reaffirmed Uhuru as the Party Leader.
5 Aug 2025
- Since his arrival in the USA, Gachagua has visited Boston, Massachusetts, Maryland and Seattle.
5 Aug 2025
- The pastor had been suspended over allegations of misconduct.
5 Aug 2025
- National Council for Population and Development warned that Kenya is not adequately prepared to support its ageing population
5 Aug 2025
- According to the CS, all schools will be affected.
5 Aug 2025
- This comes days after the application window for the September intake closed.