Wanajeshi wa Ukraine wajisalimisha Mauripol huku mapigano yakiendelea maeneo mengine ya nchi.
Zaidi ya wapiganaji 250 wa Ukraine walijisalimisha kwa majeshi ya Russia kwenye kiwanda cha chuma cha Azovstal huko Mariupol na Kyiv imesema imeamuru wanajeshi wote kuondolewa , na kuelezea ni mwisho wa mapambano makubwa ya umwagaji damu Ulaya katika miongo kadhaa.
............
Kundi la wanawake la Beadwork kutoka jimbo la Samburu limeanza zoezi la kuwafunza wanawake njia mbadala za kujikidhi kimaisha baada ya mabadiliko ya hali ya hewa kuathiri maisha ya wakaazi wengi. Kundi la beadwork huwafunza wanawake hawa kutengeneza shanga na mapambo mengine na kuuza vito hivyo kisha kutumia pesa wanazopata kuendeleza mikakati ya kuhifadhi mazingira pamoja na kuendeleza maisha yao.
.........
Hemophilia ni tatizo la kiafya ambapo uwezo wa damu kuganda katika mwili wa mtu huwa ni mdogo sana na kusababisha mgonjwa kuvuja damu nyingi kutokana na kuumia na wakati mwngine bila hata sababu yoyote. Ni ugonjwa wa aina yake wa kurithi ama wakati mwingine kuanza ghafla kwa mtoto aliyezaliwa wataalam wanaitwa mutation.
24 Apr 2024
- Not all farmers will be compensated. Applicants will need to meet a set of requirements first.
24 Apr 2024
- Kalonzo was speaking during his tour in Mt Kenya which is considered Gachagua's stronghold.
24 Apr 2024
- When thinking of insurance, convenience and affordability are among the key things to look for. EasyBima is that and more.
25 Apr 2024
- Reading Time: 3 minutes The rumble of motorcycle engines is becoming more common on Kenyan roads. As the cost of living rises, the demand […]
25 Apr 2024
- Former National Assembly Speaker Francis Ole Kaparo has disclosed how a foreign trip organized for a few Members of Parliament from both sides of the divide in 1993 brought about the presently existing unity and interaction during a dark time of…
25 Apr 2024
- Reading Time: 3 minutes Jeroen Michels, a policy analyst at the Organisation for Economic Cooperation and Development in Paris, asked: “What exactly is the […]
25 Apr 2024
- The Gaza Strip could surpass famine thresholds of food insecurity, malnutrition and mortality in six weeks, an official from the World Food Programme said on Wednesday.
25 Apr 2024
- Reading Time: < 1 minute A director of Pelikan Road Signs Limited has been charged with interfering with the will of the estate of the […]
25 Apr 2024
- The European Parliament on Wednesday adopted the first EU-wide rules on combating domestic abuse and violence against women.
25 Apr 2024
- President Joe Biden signed a hard-fought bill into law on Wednesday that provides billions of dollars of new U.S. aid to Ukraine for its war with Russia, notching a rare bipartisan victory for the president as he seeks reelection and ending months of…
25 Apr 2024
- Israel has procured tens of thousands of tents for Palestinian civilians it intends to evacuate from Rafah in the coming weeks ahead a promised assault on the city it sees as the last bastion of Hamas in the Gaza Strip, Israeli sources said on Wednesday.
25 Apr 2024
- A painting by Gustav Klimt that reappeared after nearly a century sold for 30 million euros (Ksh.4.3 billion) on Wednesday, setting a record price for an Austrian auction despite questions surrounding its provenance.
25 Apr 2024
- Reading Time: 2 minutes The children of a late prominent medical doctor in Eldoret Vincent Kiprotich Komurgor have failed to agree on how to […]