- 196 viewsKatika makala maalum ya shirika la habari la Reuters inayoangazia mauaji katika taifa la Sudan na hali wasi wasi inaendelea kutanda huko. Awatef Adam, mama wa watoto saba mwenye umri wa miaka 43, alikimbia mauaji ya wiki kadhaa katika mji wa Sudan wa El Geneina hadi Chad katikati ya mwezi Juni, alimuacha nyuma mtoto mmoja wa kiume na wa kike watatu na jamaa na majirani katika jiji hilo na kukimbilia Chad akiwa na mtoto wake mwingine na mabinti wawili. Alikuwa na matumaini hii ingemhakikishia kwamba baadhi ya watoto wake watanusurika. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wanamgambo wa RSF washutumiwa kufanya mauaji
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- 18 May 2024 - The EU on Friday told Microsoft to hand over internal documents or face fines as it examines generative AI risks on the company's search engine Bing ahead of elections.
- 18 May 2024 - South Africa ended rescue efforts at the site of a deadly building collapse Friday, having revised down the number of people that were at the premises when the accident happened.
- 18 May 2024 - Senate on Thursday failed to pass the Gambling Control Bill 2023 with amendments, forcing voting on the Bill to be postponed for the second time this week.
- 18 May 2024 - The term 'Limuru Three' has been bandied about a lot in the last few weeks but just what is its historical significance and what of Limuru one and two?
- 18 May 2024 - Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school
- 18 May 2024 - Governor Kihika, CEO clash over closure of War Memorial Hospital
- 18 May 2024 - Stillbirth: The pain of mothers leaving maternity without their babies
- 18 May 2024 - Traders warn high levies will be a burden to hustlers
- 18 May 2024 - Spare us wild goose chase in weak impeachment motions
- 18 May 2024 - Agnes Kalekye Nguna has been appointed the new Kenya Broadcasting Corporation (KBC) Managing Director and CEO for a three-year period.