- 3,975 views
Kikao cha mahakama cha kusikiza kutimuliwa kwa gavana wa meru kawira mwangaza zimetatizwa baada ya wananchi waliokuwa wakifuatilia kesi hiyo kwa njia ya mtandao kutuma jumbe nyingi na kutatiza. Jaji Bahati Mwamuye aliagiza idadi ya watu wanaohudhuria kesi hiyo kupitia mtandao idhibitiwe ili nidhamu ya mahakama izingatiwe. mahakama imeruhusu kujumuishwa kwa baraza la magavana, FIDA na mpigakura mmoja kutoka kaunti ya Meru katika kesi hiyo. wahusika wametakiwa kuwasilisha stakabadhi na hatikiapo katika siku saba zijazo huku kesi ikipangiwa kuanza tarehe 8 oktoba. gavana Kawira Mwangaza anapinga uamuzi wa bunge la seneti lililoafikia kumwondoa ofisini baada ya bunge la kaunti ya meru kufanya hivyo.
Wananchi watatiza kesi ya kutimuliwa kwa gavana Mwangaza mtandaoni
- 2 Jul 2025 - Police in Ruiru, Kiambu County, have recovered assorted items believed to have been looted from Quickmart Supermarket during the June 25th protests marking one year since the “Occupy Parliament” movement.
- 1 Jul 2025 - Peter Kinyanjui, whose family claimed he had been abducted by armed people while at his home in Limuru, is currently in police custody.
- 1 Jul 2025 - Over fifty thousand students who qualified for university and colleges did not apply for placement through the KUCCPS portal.
- 1 Jul 2025 - Kenya and the United Kingdom have agreed to introduce six additional Kenya Airways flights between Nairobi and London every week in a move which President William Ruto says is aimed at addressing persistent cargo and passenger challenges.
- 1 Jul 2025 - President William Ruto and United Kingdom Prime Minister Sir Keir Starmer have signed the renewed 5-year Kenya-UK Strategic Partnership pact that is set to unlock over Ksh.427 billion in investments.
- 1 Jul 2025 - Nearly a month after their initial social media bluster, Elon Musk reignited controversy by renewing his criticism of U.S. President Donald Trump's sweeping tax bill.
- 1 Jul 2025 - The ICT Authority Board has formally revoked the reappointment of Chief Executive Officer Stanley Kamanguya, citing multiple procedural irregularities in the renewal process.
- 1 Jul 2025 - Suspected police officers on Monday night arrested a Limuru grassroots politician and took him to unknown destination.
- 1 Jul 2025 - The Milimani Anti-Corruption Court has ruled that a Nairobi City Water and Sewerage Company (NCWSC) employee has a case to answer over charges of forgery to secure employment.
- 1 Jul 2025 - The High Court has issued temporary orders barring the ICT Authority Board from terminating the employment of CEO Stanley Kamanguya, pending the hearing and determination of a petition he has filed.