- 444 viewsBaada ya kusafiri sehemu mbalimbali duniani kwa mwaka moja, Asami Okano, mwalimu wa Kijapani, alifanya makazi yake Uganda ili kuanzisha biashara ya kilimo cha kakao na vanilla. Hapa ndipo alipokutana na mume wake, Yoshito Asai, mwaka 2013. Walioana na kupata watoto wawili, wote walizaliwa Uganda. Mwandishi wa VOA Halima Athumani na Mukasa Francis walikutana na familia hiyo na wanasimulia hadithi yao kutoka wilaya ya Kayunga katikati mwa Uganda. Asami amesema, kama mwanafunzi, alikuwa na utashi wa kujifunza kuhusu nchi zinazoendelea, hususan Asia na Afrika. Hivyo basi, wakati wa ziara yake ya m waka mmoja, iliyompeleka katika nchi mbalimbali, aliwasili Uganda, na kupata kazi ya kujitolea katika kituo cha yatima. Alifanya kazi hapo kwa mwaka mmoja kabla ya kituo cha yatima kufungwa kutokana na ukosefu wa ufadhili. Bado akiwa nchini Uganda, Asami alifanya utafiti wa njia nyingine za kujipatia kipato na kugundua kilimo kama njia inayofaa. Aliamua kufuata mkondo huo na kufanya makazi yake Uganda. Yoshito alihamia Uganda kama msafiri, akifanya utafiti wake kuhusu kilimo, wakati akiwa pia anatafuta kazi huko. Akiwa katika harakati hizo, Yoshito alikutana na Asami, na kuajiriwa naye, kabla ya wote wawili kuamua kuoana na kuishi Uganda. Yoshito anasema kile hasa anachokipenda kuhusu nchi hiyo ni watu wake na hali ya hewa. #uganda #japan #cocoa #expats #africa #voa
Wanandoa wa Kijapani waeleza kilicho wavutia kutafuta maisha Uganda
- - Kenya-Finland Ties ››
- 14 May 2025 - Sean "Diddy" Combs' former girlfriend, Casandra Ventura, the star prosecution witness at the hip-hop mogul's sex trafficking trial, testified on Tuesday that her music career began to suffer as she increasingly spent her time participating in days of…
- 14 May 2025 - South Africa's unemployment rate rose in the first quarter of this year, with statisticians fretting that increasing numbers of people appear to have given up looking for work.
- 14 May 2025 - Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said the military will enter Gaza "with full force" in the coming days, despite ongoing ceasefire efforts and the release of a US-Israeli hostage from the war-ravaged territory.
- 14 May 2025 - Finland President Alexander Stubb has hailed the historical Kenyan Gen Z movement witnessed in June last year during the anti-government protests, saying it was a momentous display of democracy.
- 14 May 2025 - Opposition leaders are now claiming that the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) nominees presented to Parliament for approval to take up management of the electoral body are a project to rig the 2027 General Election.
- 14 May 2025 - The crisis in the country's education sector continues to deepen, with the latest development being a Ksh.62 billion budget shortfall.
- 14 May 2025 - Tanzanian authorities arrested a senior opposition official as he was departing for a political conference in Belgium, his party said on Tuesday, as fears grow of an escalating crackdown ahead of an October election.
- 14 May 2025 - “No clean water. No toilets. No electricity. No well-planned living environment.” That is how Pastor Evans Moseti describes the one-room mabati house he has called home for the past nine years, its blue iron-sheet walls barely holding back Nairobi’s…
- 14 May 2025 - Court: Muturi resigned, not fired as Ruto claimed
- 14 May 2025 - Public participation on Finance Bill begins