- 444 viewsBaada ya kusafiri sehemu mbalimbali duniani kwa mwaka moja, Asami Okano, mwalimu wa Kijapani, alifanya makazi yake Uganda ili kuanzisha biashara ya kilimo cha kakao na vanilla. Hapa ndipo alipokutana na mume wake, Yoshito Asai, mwaka 2013. Walioana na kupata watoto wawili, wote walizaliwa Uganda. Mwandishi wa VOA Halima Athumani na Mukasa Francis walikutana na familia hiyo na wanasimulia hadithi yao kutoka wilaya ya Kayunga katikati mwa Uganda. Asami amesema, kama mwanafunzi, alikuwa na utashi wa kujifunza kuhusu nchi zinazoendelea, hususan Asia na Afrika. Hivyo basi, wakati wa ziara yake ya m waka mmoja, iliyompeleka katika nchi mbalimbali, aliwasili Uganda, na kupata kazi ya kujitolea katika kituo cha yatima. Alifanya kazi hapo kwa mwaka mmoja kabla ya kituo cha yatima kufungwa kutokana na ukosefu wa ufadhili. Bado akiwa nchini Uganda, Asami alifanya utafiti wa njia nyingine za kujipatia kipato na kugundua kilimo kama njia inayofaa. Aliamua kufuata mkondo huo na kufanya makazi yake Uganda. Yoshito alihamia Uganda kama msafiri, akifanya utafiti wake kuhusu kilimo, wakati akiwa pia anatafuta kazi huko. Akiwa katika harakati hizo, Yoshito alikutana na Asami, na kuajiriwa naye, kabla ya wote wawili kuamua kuoana na kuishi Uganda. Yoshito anasema kile hasa anachokipenda kuhusu nchi hiyo ni watu wake na hali ya hewa. #uganda #japan #cocoa #expats #africa #voa
Wanandoa wa Kijapani waeleza kilicho wavutia kutafuta maisha Uganda
- 5 Jul 2025 - Muslim religious leaders in Mombasa are now urging President William Ruto to build a mosque within the State House, following his recent admission that a church has been constructed on the grounds.
- 5 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Adan Duale has warned private hospitals in the country against cheating on admissions to get Social Health Authority (SHA) medical insurance funds.
- 5 Jul 2025 - Kenyans have been urged to lease idle government land to help address the country’s growing food deficit.
- 5 Jul 2025 - This is not the first time the Military Chief has criticised Kenya.
- 5 Jul 2025 - A double attack Friday by suspected jihadists near Niger's western border with Burkina Faso left 10 troops dead, authorities said whilst stating that 41 attackers were also killed.
- 5 Jul 2025 - The accident resulted in a huge traffic snarl-up.
- 5 Jul 2025 - Promote good hygiene practices like frequent handwashing.
- 5 Jul 2025 - For many years Mrs. Leah Kiptarus from Kapteren village Keiyo North sub county engaged in brewing of chang’aa to help her husband bring up their family. It was a life full of chaos, she says as she was constantly in conflict with the law. Mrs. Kiptarus…
- 5 Jul 2025 - Australia’s Prime Minister Anthony Albanese on Saturday condemned an arson attack on a busy city synagogue, saying it was a “cowardly” act of antisemitism. Police are searching for a man who set the front door of a Melbourne synagogue ablaze on Friday…
- 5 Jul 2025 - Health Cabinet Secretary Aden Duale today officially launched the Integrated Measles-Rubella and Typhoid Conjugate Vaccine Campaign at Githogoro Grounds in Westlands, Nairobi. The life-saving initiative aims to boost child immunization coverage and curb…